| |
Mbezi Chapel ni kanisa la kibatisti la
kujitegemea. Tunaamini kwamba Biblia ni kitabu kikamilifu cha
Mungu kilichoandikiwa sisi na kuhifadhiwa siku zote. Biblia
ndiyo chanzo cha mafundisho yetu na imani yetu. Hapo chini ni
maelezo mafupi ya imani yetu na msimamo wetu kulingana na Neno
la Mungu, lakini unaweza kujifunza zaidi juu ya imani yetu,
kanisa letu, na jinsi unavyoweza kuungana na Mbezi Chapel kwa
kujiandikisha kusoma Darasa la Kwanza, Darasa letu la Ufafanuzi.
Bonyeza
hapa ili
kuangalia Maelezo ya Imani Yetu.
|
|